hivi ndivyo kulivyojiri katika Tamasha la KILIMANJARO MUSIC CONCERT sikukuu ya idd
Mapinduzi ya burudani mkoani Kilimanjaro yanazidi kupamba moto na katika kulithibitisha hilo jana 29 july sikukuu ya Idd, kulipigwa Bonge la Tamasha la wazi "KILIMANJARO MUSIC CONCERT" katika viwanja vya CCM Majengo Moshi.
Tamasha hilo la wazi lililotoa Burudani ya muziki wa hiphop na aina nyingine za muziki limeandaliwa na BLACK MARKET MUSIC kwa kushirikiana na SOMJO ENTERTAINMENT na BONITE BOTLERS LIMITED huku lengo lake likiwa ni kuinua muziki mkoani hapa.
Akiongea nasi CEO wa BLACK MARKET MUSIC RAS KENOO amesema huu ni mwendelezo wa harakati zake za kuinua muziki mkoani hapa na ameahidi kuwa tamasha hili ni endelevu na litahamia PASUA,kiboriloni na maeneo mengine ya Moshi.
Huku Somjo toka SOMJO ENTERTAINMENT AKIWAHAIDI wakazi wa Kilimanjaro tamasha kubwa litalofanya mapinduzi ya burudani mwezi wa 10 mwaka huu.
CHEKI PICHA ZA MATUKIO HAPA..
Tamasha hilo la wazi lililotoa Burudani ya muziki wa hiphop na aina nyingine za muziki limeandaliwa na BLACK MARKET MUSIC kwa kushirikiana na SOMJO ENTERTAINMENT na BONITE BOTLERS LIMITED huku lengo lake likiwa ni kuinua muziki mkoani hapa.
Akiongea nasi CEO wa BLACK MARKET MUSIC RAS KENOO amesema huu ni mwendelezo wa harakati zake za kuinua muziki mkoani hapa na ameahidi kuwa tamasha hili ni endelevu na litahamia PASUA,kiboriloni na maeneo mengine ya Moshi.
Huku Somjo toka SOMJO ENTERTAINMENT AKIWAHAIDI wakazi wa Kilimanjaro tamasha kubwa litalofanya mapinduzi ya burudani mwezi wa 10 mwaka huu.
CHEKI PICHA ZA MATUKIO HAPA..
SOMJO (mwenye shati la draft) akifuatilia show kwa makini.huku maDj Virus na wenzake waki get bizy kwenye mshine |
CEO wa Black Market Music Ras Kenoo akiongea na mashabiki wa muziki waliofika |
Baadhi ya mashabiki waliofika viwanjani wakifurahia show. |
baby De concious na mwenzake wakikamua |
Muba mkali wa free style akiwapa michano mashabiki waliofika |
Julian Damas"Mtoto wa mwenye duka nikiwa na Muba mkali wa freestyle |
nelly Ms toka Team RAU akiwa na Muba mkali wa freestyle |
wasanii toka SAUZWEST wakiwa na ma MC wa show |
Nikiwa na Joshua Fanuel toka kingJofa blog |
wakali wengine wa Moshi wakifanya yao |
Ma Dj waki get bizzy kwenye mashine. |
Sunguraa a.k.a kirambasi akiwarusha mashabiki wake |
HUYU NAYE ALINOGEWA NA NGOMA ZA SUNGURAA AKAMUA KUJIACHIA HAHAHAHA NI KIRAMBAASII |
PANDISHA MLEGEE HAHAHA |
Makamuzi yaliendelea mpaka kagiza flani cha usoni watu wakaiharibia beat mpaka kikaeleweka |
NYIE VAENI MA CHAIN YA GOLD, MA SILVER MA VERSACE MI NAVAA MANATI. SWAGA ZA HUYU MSHKAJI NILIZIKUBALI SANA |
NIKIWA NA CEO WA BLACK MARKET MUSIC RAS KENOO PAMOJA NA JAMAA MI NAPENDA KUMWITA MC MANATI SWAG |
JULIAN DAMAS NA RAS KENOO NA MC MANATI NIMEWEKA ISHARA YA nikimaanisha MOSHI usinielewe vibaya hahaha haha. endelea kutembela blog hii kwa videoz za matukio zaidi |
Leave a Comment